1. Malimbikizo ya salary, yatalipwa automatic baada ya areas kuwa approved na maafisa utumishi, kuanzia pale ulipopanda. Hakuna tena kudai area
2. Uhamisho, kuhamisha mshahara ni jukumu la mwajiri wa awali, kama umehama
3. Kuhama mkoa ni lazima jina litokee kwenye orodha ya watumishi wanaohama.
4. Kwa wastaafu wanaodai areas, wanatakiwa kujaza fomu na viambatanishi ili ulipwe.
5.Malimbikizo ya mshahara kuonekana kisha kufutika, haijapotea ila inahitaji kuidhinishwa upya.
6.Kama hujapata areas, na madai ni ya muda mrefu fuatilia kwa afisa utumishi ili ujaze form maalum.
7. Ukipanda cheo, kiri haraka.
8.Posho za safari za kikazi zinatokana na status ya mtumishi, upandishaji wa vyeo vya watumishi hutegemea vikao vya DED, upandaji cheo inategemea fungu lililopangwa, mtumishi haruhusiwi kudai cheo. Hii ni kanuni. Promotion ni motisha kwa watumishi, si automatic. Mwajiri lzm apate taarifa za utendajikazi wa utumishi ndipo aandae promotion.
9.Madai kwa watumishi waliohama, yatashughulikiwa na mwajiri wa sasa baada ya kuwasiliana na mwajiri wa awali.
10. Upatikaji wa nyaraka, www.utumishi.go.tz na www.tamisemi.go.tz utapata nyaraka na huduma kwa kutumia simu au computer.
11. Nauli za likizo, inategemea bajeti ya halmashauri, ilipwe kabla ya kusafiri, akijisafirisha atadai. Maombi ya nauli za likizo yatahakikiwa kwa kutumia nauli za SUMATRA. Marufuku kulipwa nusu nauli.
12. Kusoma nje ya nchi, kama upo kwenye mpango wa mwajiri utalipiwa na kulipwa mshahara, kama haupo mwenye mpango, utachukua likizo bila malipo. Kibali kitatolewa na katibu mkuu kusafiri nje.
13. Rufaa ya matibabu, mwajiri alipe nauli na posho ya kujikimu. Ukijigharamia, mwajiri anatakiwa kukulipa.
14. Kutofautiana kwa mishahara kwa watumishi wenye sifa zinazofanana, kuna tume ya job evaluation inafanya utafiti hatua za mwisho, pia tatizo lilikuwa tsd kutoshirikiana na mkurugenzi. Lkn tsd imekuwa tsc, tatizo litakwisha.
15. Disturbance allowance italipwa kwa 10% ya mshahara wake wa mwaka. Kwa watumishi waliohama destination, hata kama ni ndani ya km5.
16. Kumbuka kutunza nyaraka, kufuatilia mifuko ya jamii na michango ili kuhakiki uwasilishaji wa michango kabla ya kustaafu
17.Uteuzi wa wakuu wa idara huzingatia: utendaji kazi, uongozi, royality, elimu, nk.
18. Tange kwa kila kada ijazwe na kuwasilishwa kwa afisa utumishi.
19. Waliocheleweshwa kupanda daraja, wanatakiwa kwenda kwa afisa utumishi ili ajenge hoja ya kupanda kwa mseleleko na kuomba kibali kwa katibu mkuu.
20. Kama uliwekwa kwenye mpango wa mafunzo halafu ukajilipia, mwajiri anatakiwa akurudishie gharama alizotakiwa kukulipia.
21. Punguzo la kodi ya mshahara 9% linahusu wenye mishahara ya chini. Mfano katibu mkuu anakatwa 30% ya mshahara.
22.May 2016 promotion zilisitishwa pamoja na mishahara ilisitishwa kwa ajili ya watumishi hewa. Vyeo vyao vipo, ila marekebisho yao yamesitishwa. Watarejeshwa ktk vyeo vyao vipya muda si mrefu
23. Uhakiki bado serikali kuu.
24.Vyeo vya kielimu ktk nchi kimuundo ni mpaka 1st degree. Masters, phd ni sifa za ziada tu.
25. Mishahara ya watumishi italingana na uzito wa kazi, miundo ya utumishi kurekebishwa ili watu wasifike bar/vidato vya mshahara.
26. Madeni yaliyokataliwa, yafuatiliwe ili kama ni tatizo la document, zitafutwe na kuprossess upya deni.
27. Walimu wa sayansi wanaofundisha na kufanya laboratory technicians wapewe allowances. Wataalam wa laboratory wanaandaliwa.
28. Kukaimu madaraka mwisho miezi 6, athibitishwe au asitishwe.
Tuesday, April 18, 2017
Monday, April 17, 2017
VIASHIRIA VYA VITA YA TATU YA DUNIA
Kumekuwa na wasi wasi wakuibuka kwa vita ya tatu ya dunia, katika vita hivyo vinavyodhaniwa itaweza kutokea baada ya mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini juu ya majaribio ya silaha za nyukilia yanayo fanywa na Korea Kaskazini
Hali hii ilifikia hapa baada ya Marekani kuelekeza meli yake ya kivita kutokea bahari ya Pacific na kuchagizwa zaidi na maneno ya raisi wa Marekani Donald Trump ambapo alioneshwa kuchoshwa na kutoendelea kuivumilia Korea Kaskazini kwa majaribio ya nyukilia
Raisi wa Korea Kaskazini baada ya kuona kitendo cha Marekani kuonesha nia ya kuingilia Korea kivita, amesema hata nyamaza bali ataishambulia Marekani kwa sila zake za nyukilia
China imezishauri nchi zote mbili kuwa hakuna mshindi katika vita. China inajaribu kukaa kando isi jiingize katika vita hii japo kuwa inaoneka kuwa ni vita baridi.
Saturday, April 15, 2017
UFAFANUZI JUU YA MAJINA MATATU YALIONEKANA KWENYE ORODHA YA AJIRA ZA WALIMU WA SAYANSI NA HISABATI
Baada ya TAMISEMI kutangaza ajira za walimu wa sayansi na hesabu, kumekuwa na maswali mengi watu wakijiuliza kuhusiana na majina yaliyo onekana wenye orodha hiyo kwani walimu wa masomo waliyopangwa sio wa masomo ya sayansi wala hisabati. katika orodha hiyo kuna walimu ambao wanafundisha masomo haya history & Geography, Book Keeping &Commerce na history & kiswahili ambayo yote siyo masamo ya sayansi wala hisabati.
Maswali watu waliyokuwa wakijiuliza ni pamoja na: ni kwa nini serekali inasema walimu wa sanaa wamezidi lakini bado wana ajiri wengine je huu sio upendeleo?, Je ni kilichowafanya hawa watu watatu nao wakaomba kuajirwa kwani walio ajiriwa waliomba kwa kutuma vyeti vyao? Je wakati wanapanga haya majina hawakujua majina matatu siyo ya sayansi?
Kutoka na habari nilizozipata mambo yapo hivi: hayo majina matatu ni majina ya walimu ambo walikua wanafundisha shule ambayo ilikua inamilikiwa na CCM kabla haijachukuliwa na serikali kwani Raisi alaichukua hiyo shule na kuifanya mali ya serekali kwa hiyo majina ya walimu hao yameongezwa ili kuwanya wawe wajiriwa rasmi wa serikali
Maswali watu waliyokuwa wakijiuliza ni pamoja na: ni kwa nini serekali inasema walimu wa sanaa wamezidi lakini bado wana ajiri wengine je huu sio upendeleo?, Je ni kilichowafanya hawa watu watatu nao wakaomba kuajirwa kwani walio ajiriwa waliomba kwa kutuma vyeti vyao? Je wakati wanapanga haya majina hawakujua majina matatu siyo ya sayansi?
Kutoka na habari nilizozipata mambo yapo hivi: hayo majina matatu ni majina ya walimu ambo walikua wanafundisha shule ambayo ilikua inamilikiwa na CCM kabla haijachukuliwa na serikali kwani Raisi alaichukua hiyo shule na kuifanya mali ya serekali kwa hiyo majina ya walimu hao yameongezwa ili kuwanya wawe wajiriwa rasmi wa serikali
Thursday, April 13, 2017
MH. MAKONDA ATEMBELEA UJENZI WA HOSPITALI CHANIKA
Mh Paul Makonda leo hii ametembelea ujenzi wa Hospitali ya Kinamama
ya Chanika unaofadhiliwa na ubalozi wa Korea Kusini na kugharimu zaidi
ya Tshs. 8.8 Bilioni uliokamilika kwa 90% hadi hivi sasa.
Mwanzoni 2016 Mh Makonda alipeleka maombi (propasal) ya kuomba washikadau wa maendeleo mbalimbali ikiwemo ubalozi wa Korea Kusini kusaidia katika ujenzi wa hospitali ya kisasa ya Mama na Mtoto , ambapo ubalozi huo ulikubali propasal hiyo
Ujenzi wa hospitali hiyo unaenda sambamba na ujenzi wa nyumba 28 ajili ya wauguzi na madaktari watakaohudumu hospitali hiyo masaa 24. Mpaka sasa 90% ya ujenzi huo imekamilika na kazi ya kufunga vitanda 160 vya wagonjwa na 10 vya kujifungulia na ufungaji wa vifaa vingine inaendelea kwa sasa.
Hospitali hii itakuwa ni mahususi kwa wakina mama na Watoto inatarajiwa kufunguliwa mwezi Juni mwaka huu (2017) na Mh Magufuli
Mwanzoni 2016 Mh Makonda alipeleka maombi (propasal) ya kuomba washikadau wa maendeleo mbalimbali ikiwemo ubalozi wa Korea Kusini kusaidia katika ujenzi wa hospitali ya kisasa ya Mama na Mtoto , ambapo ubalozi huo ulikubali propasal hiyo
Ujenzi wa hospitali hiyo unaenda sambamba na ujenzi wa nyumba 28 ajili ya wauguzi na madaktari watakaohudumu hospitali hiyo masaa 24. Mpaka sasa 90% ya ujenzi huo imekamilika na kazi ya kufunga vitanda 160 vya wagonjwa na 10 vya kujifungulia na ufungaji wa vifaa vingine inaendelea kwa sasa.
Hospitali hii itakuwa ni mahususi kwa wakina mama na Watoto inatarajiwa kufunguliwa mwezi Juni mwaka huu (2017) na Mh Magufuli
Sunday, April 2, 2017
SHINDA GARI BURE KABISA KWA KUJIUNGA CARS FROM JAPAN
Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo, Nirahisi sana wala usihofu
>>>>>Bonyeza Hapa : KUJISAJILI NI BURE TU... <<<<<
Kisha Jisajili kwa Kuweka Jina na Email Yako... USIWE NA WASIWASI HUDUMA HII NI SALAMA KABISA..
Jinsi ya kujiunga:
Bofya hayo maandishi ya rangi ya blue hapo juu kisha itafunguka kurasa ambayo itakuwa iko hivi.
Kisha Bofya neno APPLY NOW kisha itafunguka hivi
Kisha utajaza Form hii kisha utaBofya neno NEXT itafunguka kurasa ingine nayo ufate maelezo yake..
Mwisho wa Kujisajili ni 20 / 06 / 2017
>>>>>Bonyeza Hapa : KUJISAJILI NI BURE TU... <<<<<
APPLY NOW
Friday, March 31, 2017
JUA KUHUSU SHINDANO LA CAR FROM JAPAN
Hivi sasa kuna shindano linaendelea kwa jina la Free Car Giveaway.
Hili ni shindano ambalo Mshindi mmoja atazawadiwa gari moja na washindi
wengine 105 watazawadiwa kuponi. Baada ya kuona shindano hilo
nikalazimika kulifanyia utafiti ili nijiridhishe nalo kabla sijaleta
habari zake hapa.
Pamoja na yote hayo, hapa naomba niseme jambo moja. Sitaki kusema shindano hili ni halali/legit kwa 100% lakini nilichofanya kabla ya kuleta mada hii ni kuichambua kampuni inayoendesha shindano husika. Assumption ni kwamba, ikiwa shindano husika linaendeshwa na kampuni halali basi HUENDA na shindano lenyewe likawa halali. Nilichofanya mimi ni kutumia taarifa zilizotolewa na kampuni husika kisha nikazichunguza kwa kupitia external sources.
Ikiwa utahitaji kulisoma kwa makini shindano lenyewe na ikiwa unataka kujaribu, basi linapatikana hapa https://carfromjapan.com/en/campaign/car-from-japan-grand-giveaway-2017?refer=58bcf7b88abb210001e449d2
UTAFITI WANGU & SUPPORTING EVIDENCE
1. Physical Address: Kwanza nilichukua physical address iliyowekwa na hiyo kampuni. Adress yao ni hii hapa chini:
Nikataka kufahamu ikiwa kweli hiyo address ipo na hiyo kampuni inapatiakana kwenye hilo jengo. Google Map na Google Street Map ikathibitisha hayo yote mawili:
EVIDENCE 2: Japan Used Motor Vehicle Exporters Association (JUMVEA):
JUMVEA ni Jumuiya ya Wasafirishaji Magari huko Japan na wamethibitishwa na Wizara ya Uchumi, Biashara na Viwanda ya Japan. Watu wanashauriwa kabla ya kuagiza gari/magari kutoka Japan wahakikishie kwanza kampuni wanayotaka kufanya nayo biashara ni mwanachama wa JUMVEA.
Ukitaka kuufahamu UHALALI wa JUMVEA soma angalizo la Ubalozi wa Kenya nchini Japan. Screenshot na link ya habari husika ni hii hapa.
Kwahiyo hapo utaona Ubalozi wa Kenya unawaasa Wakenya kabla hawajaagiza magari wahakikishe dealer husika ana uhalali wa kufanya kibiashara na amesajiriwa na JUMVEA. Bila shaka ushauri huu ni muhimu hata kwetu sisi Watanzania. Aidha ni ushauri mzuri kwako hata kama huna haja na hili shindano.
Hapa nikataka kujiridhisha ikiwa kampuni inayooendesha hili shindano imesajiriwa na JUMVEA na nimethibitisha ni kampuni halali inayofanya biashara halali na ni mwanachama wa JUMVE. Hata hivyo, unaweza kuthibitisha wewe mwenyewe mbali ni hizi screenshots:
Ikiwa hadi hapo umeridhika na ungetamani kujaribu bahati yako, hilo linafayika kwa kutumia hii link: Free Car Giveaway
Kama vipi, tuendelee na uchambuzi wetu. Ukiangalia kwenye hiyo screenshot, unakuta hao Car From Japan ni Safe Trade Member. Safe Trade Member ni Car Exporter anayekuhakikishia usalama wa pesa yako wewe mnunuaji hata kama pesa umeshamtuma lakini gari haijasafirishwa. Bila shaka, kampuni inayoingia kwenye hili group ni lazima ithibitishwe ina uwezo wa kufanya biashara bila magumashi:
Kwa mara nyingine, hata kama huna haja ya kujaribu hili shindano kumbe tayari na wewe utakuwa umefaidika na taarifa hiyo hapo juu siku utakapotaka utakapotaka kuagiza gari kutoka Japan. Ili kujihakikishia usalama wa pesa yako, hakikisha dealer husika ni member wa Jumvea Safe Trade. Kwa maelezo zaidi, hawa ndio JUMVEA
Kwa hofu ya kuifanya makala hii kuwa ndefu sana, naomba niishie hapa lakini sina shaka wengi wetu tutakuwa tumejiridhisha kwamba shindano husika linaendeshwa na kampuni halali inayofanya biashara kihalali na inatambuliwa na mamlaka husika. Kwahiyo, ikiwa unataka kujaribu bahati yako, unaweza kufanya hivyo kupitia link: Free Car Giveaway
hii imechukuliwa
JF By
Pamoja na yote hayo, hapa naomba niseme jambo moja. Sitaki kusema shindano hili ni halali/legit kwa 100% lakini nilichofanya kabla ya kuleta mada hii ni kuichambua kampuni inayoendesha shindano husika. Assumption ni kwamba, ikiwa shindano husika linaendeshwa na kampuni halali basi HUENDA na shindano lenyewe likawa halali. Nilichofanya mimi ni kutumia taarifa zilizotolewa na kampuni husika kisha nikazichunguza kwa kupitia external sources.
Ikiwa utahitaji kulisoma kwa makini shindano lenyewe na ikiwa unataka kujaribu, basi linapatikana hapa https://carfromjapan.com/en/campaign/car-from-japan-grand-giveaway-2017?refer=58bcf7b88abb210001e449d2
UTAFITI WANGU & SUPPORTING EVIDENCE
1. Physical Address: Kwanza nilichukua physical address iliyowekwa na hiyo kampuni. Adress yao ni hii hapa chini:
Nikataka kufahamu ikiwa kweli hiyo address ipo na hiyo kampuni inapatiakana kwenye hilo jengo. Google Map na Google Street Map ikathibitisha hayo yote mawili:
EVIDENCE 2: Japan Used Motor Vehicle Exporters Association (JUMVEA):
JUMVEA ni Jumuiya ya Wasafirishaji Magari huko Japan na wamethibitishwa na Wizara ya Uchumi, Biashara na Viwanda ya Japan. Watu wanashauriwa kabla ya kuagiza gari/magari kutoka Japan wahakikishie kwanza kampuni wanayotaka kufanya nayo biashara ni mwanachama wa JUMVEA.
Ukitaka kuufahamu UHALALI wa JUMVEA soma angalizo la Ubalozi wa Kenya nchini Japan. Screenshot na link ya habari husika ni hii hapa.
Kwahiyo hapo utaona Ubalozi wa Kenya unawaasa Wakenya kabla hawajaagiza magari wahakikishe dealer husika ana uhalali wa kufanya kibiashara na amesajiriwa na JUMVEA. Bila shaka ushauri huu ni muhimu hata kwetu sisi Watanzania. Aidha ni ushauri mzuri kwako hata kama huna haja na hili shindano.
Hapa nikataka kujiridhisha ikiwa kampuni inayooendesha hili shindano imesajiriwa na JUMVEA na nimethibitisha ni kampuni halali inayofanya biashara halali na ni mwanachama wa JUMVE. Hata hivyo, unaweza kuthibitisha wewe mwenyewe mbali ni hizi screenshots:
Ikiwa hadi hapo umeridhika na ungetamani kujaribu bahati yako, hilo linafayika kwa kutumia hii link: Free Car Giveaway
Kama vipi, tuendelee na uchambuzi wetu. Ukiangalia kwenye hiyo screenshot, unakuta hao Car From Japan ni Safe Trade Member. Safe Trade Member ni Car Exporter anayekuhakikishia usalama wa pesa yako wewe mnunuaji hata kama pesa umeshamtuma lakini gari haijasafirishwa. Bila shaka, kampuni inayoingia kwenye hili group ni lazima ithibitishwe ina uwezo wa kufanya biashara bila magumashi:
Kwa mara nyingine, hata kama huna haja ya kujaribu hili shindano kumbe tayari na wewe utakuwa umefaidika na taarifa hiyo hapo juu siku utakapotaka utakapotaka kuagiza gari kutoka Japan. Ili kujihakikishia usalama wa pesa yako, hakikisha dealer husika ni member wa Jumvea Safe Trade. Kwa maelezo zaidi, hawa ndio JUMVEA
Kwa hofu ya kuifanya makala hii kuwa ndefu sana, naomba niishie hapa lakini sina shaka wengi wetu tutakuwa tumejiridhisha kwamba shindano husika linaendeshwa na kampuni halali inayofanya biashara kihalali na inatambuliwa na mamlaka husika. Kwahiyo, ikiwa unataka kujaribu bahati yako, unaweza kufanya hivyo kupitia link: Free Car Giveaway
hii imechukuliwa
JF By
myplusbee
Saturday, December 10, 2016
FAHAMU MAGARI MATANO YANATUMIA MAFUTA KIDOGO INAKUFA KUENDESHA TANZANIA :
Kwa miji kama Dar es
salaam na Arusha kukaa kwenye foleni mdaa mrefu haipotezi muda tu pia
matumizi ya mafuta yanakua makubwa. Japo kuwa unaweza kupunguza
matumizi ya mafuta kwa kuzima AC na kuendesha gari kwa mwendo/speed
ya wastani lakini ukiwa na gari lenye kutumia mafuta kidogo unaweza
kuokoa gharama zaidi na gari lenye kuuzwa chini ya milioni 15. kwa
hiyo kama unafikiria kubadili gari lako au kununua gari lakom la
kwanza basi ya ndio baadhi ya magari unaweza nunua yatumiayo mafuta
kidogo:
1. toyota IST:
nathani
utakuwa kipofu kama hujui kama toyota ndio inaongoza kwa kuwa na
wateja wengi hapa nchini kwa mujibu wa best selling cars gari moja(1)
kati ya manne(4) ni la toyota model. Na kwa sasa Toyota
IST ndio maarufu zaidi. Bei ya Toyota IST inategemeana na mwaka
iliyo tengenezwa na bei huwa kati ya milioni 8 hadi milioni 12.
2. Toyota Vitz:
hili gari halina tofauti sana na IST katika utndaji wake wakazi
lakini hili lina umbo dogo zaidi na bei yake ipo chini zaidi
ukilinganisha na IST na kwa udogo wake unaipa injini kuwa na nguvu
zaidi na kutumia mafuta kidogo. Hili pia bei yake inategemea na mwaka
lililo tengenezwa.
Bei yake ni kati ya ml 6 hadi 9
3. Toyota
Passo:
katika
muundo na ufanyaji kazi wake hauna tofauti sana na Vitz lakini Passo
ina umbo kubwa zaidi na ina uwezo wa kubeba watu watano huku ikiwa
imebeba mizigo na huenda 33.5 mpg au 7 L/ 100 km. Unaweza kutumia
40,000/= kwa wiki kwenda umbali wa km 35 mpaka 40.
Bei
yake huwa kati ya ml 6 hadi ml 8.5
4. Nissan
March:
Sasa
tunakutana na model ambayo siyo ya toyota. Japo kuwa ni kidogo sana
kina okoa gharama nyingi za mafuta kinapendwa na madereva wa Tanzania
kwa sababu kinauwezo wa kupenya kwenya foleni katika ile midaa ya
haraka.
Bei
yake huwa kati ya ml 2.5 hadi .5 kutegemeana na mwaka iloyo
tengenezwa na umbali iliyotembea

5. Honda
Fit:
model
nyingine isiyokuwa ya toyota nayotumia mafuta kidogo . Inauwezo wa
kwenda mpaka 33 mpg au 7.1L/100 km. Bei yake pia inategemeana na
mwaka wa kutengenezwa na bei yake huwa kati ya ml 8 mpaka 14

Subscribe to:
Posts (Atom)

