TANDIKA MIKEKA: LVERPOOL YATHIBITISHA KUMNYAKA DOMINIC SOLANKE: . Liverpool imefikia makubaliano na Dominic Solanke. mshambuliaji huyo anatarajiwa kujiunga na Liverpool baada ya mkaba wake na Chelsea kui... soma zaidi
Wednesday, May 31, 2017
Tuesday, May 30, 2017
ANGELA KAIRUKI: HAKUNA AJIRA ZA WALIMU WA SANAA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, (Angela Kairuki) amefunguka na kusema serikali kwa sasa haitaweza kuajiri walimu wapya wa sanaa bali itawatumia walimu wa sanaa wa ziada waliopo katika shule za sekondari
Angela
Kairuki amesema hayo leo bungeni na kusisitiza kwamba kila shule
itaweza kupata walimu wa sanaa kulingana na mahitaji yao
"Utafiti uliofanywa na Ofisi ya Rais Tamisemi mwaka 2015/2016 umebaini kuwepo kwa ziada ya walimu wa masomo ya sanaa wapatao 7463 katika shule za sekondari, kutokana na hali hii serikali inaendelea na zoezi la kuwagawanya walimu hao au kuwa 'redeploy' kwa kuzingatia uwiano na mahitaji halisi ya walimu wa sanaa kwa kila mamlaka za serikali za mitaa ili kila shule iweze kupata walimu wa masomo ya sanaa badala ya kuajiri walimu wapya" -alisema Angela Kairuki
Mbali na hilo Waziri Kairuki amesema
serikali inaendelea kuajiri watumishi wa kada mbalimbali ambapo katika
mwaka wa fedha 2016/2017 watumishi zaidi ya elfu tisa wameajiriwa
serikalini.
"Katika mwaka wa fedha
2016/17 jumla ya watumishi wa Umma 90721 wamekwisha ajiriwa kwa
kuzingatia vipaumbele na mahitaji ya kila mwajiri na katika mwaka wa
fedha 2017/18 serikali inatarajia kuajiri watumishi 52436 wa sekta
mbalimbali kwa kuzingatia vipaumbele vya taifa pamoja na kuimarisha kila
sekta na upungufu mkubwa wa watumishi wa Umma" -alisema Kairuki
Angela Kairuki: Walimu wa sanaa hawataajiriwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, (Angela Kairuki) amefunguka na kusema serikali kwa sasa haitaweza kuajiri walimu wapya wa sanaa bali itawatumia walimu wa sanaa wa ziada waliopo katika shule za sekondari
Angela Kairuki amesema hayo leo bungeni na kusisitiza kwamba kila shule itaweza kupata walimu wa sanaa kulingana na mahitaji yao
"Utafiti uliofanywa na Ofisi ya Rais Tamisemi mwaka 2015/2016 umebaini kuwepo kwa ziada ya walimu wa masomo ya sanaa wapatao 7463 katika shule za sekondari, kutokana na hali hii serikali inaendelea na zoezi la kuwagawanya walimu hao au kuwa 'redeploy' kwa kuzingatia uwiano na mahitaji halisi ya walimu wa sanaa kwa kila mamlaka za serikali za mitaa ili kila shule iweze kupata walimu wa masomo ya sanaa badala ya kuajiri walimu wapya" -alisema Angela Kairuki
Mbali na hilo Waziri Kairuki amesema
serikali inaendelea kuajiri watumishi wa kada mbalimbali ambapo katika
mwaka wa fedha 2016/2017 watumishi zaidi ya elfu tisa wameajiriwa
serikalini.
"Katika mwaka wa fedha
2016/17 jumla ya watumishi wa Umma 90721 wamekwisha ajiriwa kwa
kuzingatia vipaumbele na mahitaji ya kila mwajiri na katika mwaka wa
fedha 2017/18 serikali inatarajia kuajiri watumishi 52436 wa sekta
mbalimbali kwa kuzingatia vipaumbele vya taifa pamoja na kuimarisha kila
sekta na upungufu mkubwa wa watumishi wa Umma" -alisema Kairuki
TANDIKA MIKEKA: LIVERPOOL, CHELSEA NA MAN CITY ZAPANIA KUBOMOA KIK...
TANDIKA MIKEKA: LIVERPOOL, CHELSEA NA MAN CITY ZAPANIA KUBOMOA KIK...: Liverpool ni moja ya vilabu vya EPL ambavyo vimejianda kuharibu kikosi cha Monaco kwa kuwawinda baadhi ya nyota wake katika majira ya joto....
TANDIKA MIKEKA: LIVERPOOL, CHELSEA NA MAN CITY ZAPANIA KUBOMOA KIK...
TANDIKA MIKEKA: LIVERPOOL, CHELSEA NA MAN CITY ZAPANIA KUBOMOA KIK...: Liverpool ni moja ya vilabu vya EPL ambavyo vimejianda kuharibu kikosi cha Monaco kwa kuwawinda baadhi ya nyota wake katika majira ya joto....
Subscribe to:
Posts (Atom)