Sunday, June 4, 2017

VITU GANI VINAVYOFANYA NDOTO ZA MTU ZISIFANIKIWE

Kuna vitu vingi vinavyofanya mtu asifikie kile alichokuwa anategemea kukifanya kwa siku za usoni. Hizi ni baadhi ya sababu za kwa nini ndoto hazifnikiwi
  1. Kumwambia kila mtu ndoto yako: kwa upande mmoja ni sahihi kabisa  kumwambia mtu ndoto zako ambaye unadhani ataweza kukusaidia kufikia hiyo ndoto yako na siyo kumwambia kila mtu ndoto zako kwani wengine watakukatisha tamaa. Mfano unataka kufanya jambo fulani kwa siku za hapo baadae alafu unamshirikisha ndoto zako mtu ambaye huwa ana mawazo/mtazamo  hasi au tofauti kwa hicho ulichomweleza, 
  2. Kurithika: adui mkubwa wa mafaniko yako ya sasa ni mafanikio yako ya zamani. Watu wengi wamekuwa wakijikuta hawafikii zile ndoto zao kwa sababu ya mafaniki madogo waliyoyapata wakati wakiwa njiani kufikia zile ndoto zao. Kiabaya zaidi kwenye kurithika ni kwamba inafanya mtu siyo tu kushindwa kufikia ndoto zake bali pia kusahau ndoto zake. Mfano kwa mcheza soka ana ndotoza kucheza soka la kulipwa nje ya Tanzania lakini akishafika simba au Yanga anaridhika na kuhisi amefikia mafanikio makubwa sana. Tumia mfano huu uweke kwenye maisha yako ya kawaida. 
  3. kushindwa mara kwa mara: hapa kuna na mtihani mkubwa kwa watu wengi kuvuka kwani imeshakuwa desturi watu kuangali kitu kilicho washinda watu wengine na kuona kama na wenyewe kita washinda. Mfano utasika mtu anasema "kitu fulani kilimshinda mtu fulani, mimi ndiye nitakaye kiweza?" ukiangalia maneno kama hayo yanaonesha kuwa watu wengi wanaangalia watu walioshindwa kwa kufanya kitu fulani lakini wanasahau kuwaangalia watu waliofnikiwa kwa kufanya kitu cha aina hiyo hiyo moja. 
  4. kokosa ujasiri/udhubutu/kujiamini; hivi ni vitu tofauti ila kwa hapa vinaweza vikawa vinaleta matokeo ambaye yanaweza kuwa yanafanana. kuto kujiamini husababishwa na tabia kwani kwa zaidi ya 80%  ya vitu tunavyofanya vinatokana na tabia.  Kwa hiyo mtu akiwa hajiamini/adhubutu/ajaribu vya kutosha inakuwa ni vigumu kwa yeye kufikia ndoto zake. Mfano mtu anataka kuanzisha biashara ila anaogopa kufungua/kufanya hiyo biashara kwa hofu tu atapata hasara 
HAYO NI  BAADHI YA MACHACHE YA KUZINGATIA ILI NDOTO ZAKO ZISIFE AU ZISIISHIE NJIANI.

Wednesday, May 31, 2017

TANDIKA MIKEKA: LVERPOOL YATHIBITISHA KUMNYAKA DOMINIC SOLANKE

TANDIKA MIKEKA: LVERPOOL YATHIBITISHA KUMNYAKA DOMINIC SOLANKE: . Liverpool imefikia makubaliano na Dominic Solanke. mshambuliaji huyo anatarajiwa kujiunga na Liverpool baada ya mkaba wake na Chelsea kui... soma zaidi


Tuesday, May 30, 2017

ANGELA KAIRUKI: HAKUNA AJIRA ZA WALIMU WA SANAA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, (Angela Kairuki) amefunguka na kusema serikali kwa sasa haitaweza kuajiri walimu wapya wa sanaa bali itawatumia walimu wa sanaa wa ziada waliopo katika shule za sekondari

Angela Kairuki amesema hayo leo bungeni na kusisitiza kwamba  kila shule itaweza kupata walimu wa sanaa kulingana na mahitaji yao 
"Utafiti uliofanywa na Ofisi ya Rais Tamisemi mwaka 2015/2016 umebaini kuwepo kwa ziada ya walimu wa masomo ya sanaa wapatao 7463 katika shule za sekondari, kutokana na hali hii serikali inaendelea na zoezi la kuwagawanya walimu hao au kuwa 'redeploy' kwa kuzingatia uwiano na mahitaji halisi ya walimu wa sanaa kwa kila mamlaka za serikali za mitaa ili kila shule iweze kupata walimu wa masomo ya sanaa badala ya kuajiri walimu wapya" -alisema Angela Kairuki 
Mbali na hilo Waziri Kairuki amesema serikali inaendelea kuajiri watumishi wa kada mbalimbali ambapo katika mwaka wa fedha 2016/2017 watumishi zaidi ya elfu tisa wameajiriwa serikalini.

"Katika mwaka wa fedha 2016/17 jumla ya watumishi wa Umma 90721 wamekwisha ajiriwa kwa kuzingatia vipaumbele na mahitaji ya kila mwajiri na katika mwaka wa fedha 2017/18 serikali inatarajia kuajiri watumishi 52436 wa sekta mbalimbali kwa kuzingatia vipaumbele vya taifa pamoja na kuimarisha kila sekta na upungufu mkubwa wa watumishi wa Umma"  -alisema Kairuki

KAIRUKI



Angela Kairuki: Walimu wa sanaa hawataajiriwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, (Angela Kairuki) amefunguka na kusema serikali kwa sasa haitaweza kuajiri walimu wapya wa sanaa bali itawatumia walimu wa sanaa wa ziada waliopo katika shule za sekondari

Angela Kairuki amesema hayo leo bungeni na kusisitiza kwamba  kila shule itaweza kupata walimu wa sanaa kulingana na mahitaji yao 
"Utafiti uliofanywa na Ofisi ya Rais Tamisemi mwaka 2015/2016 umebaini kuwepo kwa ziada ya walimu wa masomo ya sanaa wapatao 7463 katika shule za sekondari, kutokana na hali hii serikali inaendelea na zoezi la kuwagawanya walimu hao au kuwa 'redeploy' kwa kuzingatia uwiano na mahitaji halisi ya walimu wa sanaa kwa kila mamlaka za serikali za mitaa ili kila shule iweze kupata walimu wa masomo ya sanaa badala ya kuajiri walimu wapya" -alisema Angela Kairuki 
Mbali na hilo Waziri Kairuki amesema serikali inaendelea kuajiri watumishi wa kada mbalimbali ambapo katika mwaka wa fedha 2016/2017 watumishi zaidi ya elfu tisa wameajiriwa serikalini.

"Katika mwaka wa fedha 2016/17 jumla ya watumishi wa Umma 90721 wamekwisha ajiriwa kwa kuzingatia vipaumbele na mahitaji ya kila mwajiri na katika mwaka wa fedha 2017/18 serikali inatarajia kuajiri watumishi 52436 wa sekta mbalimbali kwa kuzingatia vipaumbele vya taifa pamoja na kuimarisha kila sekta na upungufu mkubwa wa watumishi wa Umma"  -alisema Kairuki 
kairuki

TANDIKA MIKEKA: LIVERPOOL, CHELSEA NA MAN CITY ZAPANIA KUBOMOA KIK...

TANDIKA MIKEKA: LIVERPOOL, CHELSEA NA MAN CITY ZAPANIA KUBOMOA KIK...: Liverpool ni moja ya vilabu vya EPL ambavyo vimejianda kuharibu kikosi cha Monaco kwa kuwawinda baadhi ya nyota wake katika majira  ya joto....
mendy

TANDIKA MIKEKA: LIVERPOOL, CHELSEA NA MAN CITY ZAPANIA KUBOMOA KIK...

TANDIKA MIKEKA: LIVERPOOL, CHELSEA NA MAN CITY ZAPANIA KUBOMOA KIK...: Liverpool ni moja ya vilabu vya EPL ambavyo vimejianda kuharibu kikosi cha Monaco kwa kuwawinda baadhi ya nyota wake katika majira  ya joto....

Wednesday, April 19, 2017

MABADILIKO YANAYO KUATHIRI WEWE MWAJIRIWA NA AJIRA YAKO ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ


✍๐ŸฝKwa Tanzania sasa hivi kupoteza kazi yako ni rahisi sana. Unaweza kwenda kazini leo ukakuta umefukuzwa.⌚

Teknolojia inabadilisha kila kitu. Baada ya muda mfupi unaweza kukuta kazi yako inafanywa na mashine.

Huna uhakika na kampuni unayofanya nayo kama itabaki miaka 20 mbele inaweza pia ikafa.
Kumbuka Sikwambii haya kukutia hofu ni Ukweli ili ujiandae Lolote laweza kutokea.

Mambo uliyokua huyajui:-

• Hakuna Tajiri alieajiriwa, matajiri wote wanamiliki biashara zao wenyewe. Usifikiri kuwa tajiri kwa kupitia kwenye ajira.

•  Huwezi kua tajiri kwa kutegemea mshahara wako anza sasa kufikiria na kufanya, buni mfumo utakaokutengenezea kipato wakati upo kwenye ajira kipato hicho kikizidi mshahara na fanya mpango uache kazi.

•  Kama hujui ni kwamba boss wako hana mpango wa kubadili maisha yako furaha yake yeye ni aone unamfanyia kazi kwa bidii. Ukiumwa leo ukabaki nyumbani miezi mitatu ukirudi kazini utakuta nafasi yako imeshachukuliwa.

•  Haijalishi una elimu kubwa kiasi gani au ndogo kiasi gani mwajiriwa ni mwajiriwa tu wote wana hatari moja/wote wanamfanyia kazi mtu, ukifukuzwa kazi leo maisha yako lazima yatayumba.

•  Kilio kimoja cha kila mwajiriwa ni mishahara haikutani kamwe. Unaweza kubadili hali hiyo leo kwa kua na mfumo wako unakutengenezea pesa nje ya ajira.

•  Usipoteze muda kuomba uongezewe mshahara au upande cheo waza kumiliki biashara yako mwenyewe.

•  Mshahara ukiongezeka ujue utatakiwa ufanye kazi nyingi zaidi/uzalishe Zaidi, ukipanda cheo ujue na majukumu yatakua mengi Zaidi. Pesa utakayoongezewa huwezi kuifurahia tena.

•  Kwenye mfumo wako mwenyewe ni kwamba kuna wakati utakua haupo lakini pesa zinaendelea kutengenezwa.

•  Kama unafarijiwa na mafao utakayopata uzeeni piga mahesabu ni kiasi gani utapokea na uone jinsi gani unapoteza muda.

•  Mafao unayoyasubiria baada ya miaka 40 ya ajira ungeweze kutengeneza mara 50 yake na kwa muendelezo yaani hiyo miaka 40 ya ajira ni miaka 5 tu inaweza kukufanya wewe uanze kuishi maisha ya kipato kinacholingana na mafao yako.

•  Ajira yako haikulindi bali inakufanya uwe mtumwa unauza muda na nguvu zako kila siku kipato ambacho siku zote hakitakaa kikutoshe.

•  Sikwambii haya ili uache kazi leo lah! Anza kujitengenezea mfumo leo ili undoke hapo bila maumivu wala hofu yeyote.

•  Zipo biashara nyingi za kuanza ukiwa kwenye ajira lakini changamoto kubwa ni kwamba zitakukosa wewe kwasababu upo kwenye ajira hivyo ukuaji wake utakua kwenye hatari kubwa sana.

•  Lakini zipo biashara ambazo unaweza kutenga ule muda wako wa ziada baada ya ajira ukawa unaikuza biashara hii na ikakuletea mafanikio makubwa sana.

Inawezekana wewe hujawahi kufikiria kua tajiri au kumiliki mali nyingi biashara zako na kadhalika lakini kujiajiri au kuwa na kipato cha ziada ni kitu cha muhimu kwa maana unakua hutegemei mshahara peke yake. Lolote linaweza kutokea kipindi hiki.

Kuwa makini na jitengenezee njia za kujisaidia kabla mabaya hayajakufikia.

Tafakari, Chukua hatua
Huku ukimtanguliza Mwenyezi Mungu mbele๐Ÿ“–

Tuesday, April 18, 2017

MAELEZO KUTOKA KWA KATIBU MKUU UTUMISHI.

1. Malimbikizo ya salary, yatalipwa automatic baada ya areas kuwa approved na maafisa utumishi, kuanzia pale ulipopanda. Hakuna tena kudai area

2. Uhamisho, kuhamisha mshahara ni jukumu la mwajiri wa awali, kama umehama

3. Kuhama mkoa ni lazima jina litokee kwenye orodha ya watumishi wanaohama.

4. Kwa wastaafu wanaodai areas, wanatakiwa kujaza fomu na viambatanishi ili ulipwe.

 5.Malimbikizo ya mshahara kuonekana kisha kufutika, haijapotea ila inahitaji kuidhinishwa upya.

6.Kama hujapata areas, na madai ni ya muda mrefu fuatilia kwa afisa utumishi ili ujaze form maalum.
7. Ukipanda cheo, kiri haraka.

8.Posho za safari za kikazi zinatokana na status ya mtumishi,  upandishaji wa vyeo vya watumishi hutegemea vikao vya DED, upandaji cheo inategemea fungu lililopangwa, mtumishi haruhusiwi kudai cheo. Hii ni kanuni. Promotion ni motisha kwa watumishi, si automatic. Mwajiri lzm apate taarifa za utendajikazi wa utumishi ndipo aandae promotion.

9.Madai kwa watumishi waliohama, yatashughulikiwa na mwajiri wa sasa baada ya kuwasiliana na mwajiri wa awali.

10. Upatikaji wa nyaraka, www.utumishi.go.tz na www.tamisemi.go.tz  utapata nyaraka na huduma kwa kutumia simu au computer.

11. Nauli za likizo, inategemea bajeti ya halmashauri, ilipwe kabla ya kusafiri, akijisafirisha atadai. Maombi ya nauli za likizo yatahakikiwa kwa kutumia nauli za SUMATRA. Marufuku kulipwa nusu nauli.

12. Kusoma nje ya nchi, kama upo kwenye mpango wa mwajiri utalipiwa na kulipwa mshahara, kama haupo mwenye mpango, utachukua  likizo bila malipo. Kibali kitatolewa na katibu mkuu kusafiri nje.

13. Rufaa ya matibabu, mwajiri alipe nauli na posho ya kujikimu. Ukijigharamia, mwajiri anatakiwa kukulipa.

14. Kutofautiana kwa mishahara kwa watumishi wenye sifa zinazofanana, kuna tume ya job evaluation inafanya utafiti hatua za mwisho, pia tatizo lilikuwa tsd kutoshirikiana na mkurugenzi.  Lkn tsd imekuwa tsc, tatizo litakwisha.

15. Disturbance allowance italipwa kwa 10% ya mshahara wake wa mwaka. Kwa watumishi waliohama destination, hata kama ni ndani ya km5.

16. Kumbuka kutunza nyaraka, kufuatilia mifuko ya jamii na michango ili kuhakiki uwasilishaji wa michango kabla ya kustaafu

17.Uteuzi wa wakuu wa idara huzingatia: utendaji kazi, uongozi, royality, elimu, nk.

18. Tange kwa kila kada ijazwe na kuwasilishwa kwa afisa utumishi.

19. Waliocheleweshwa kupanda daraja, wanatakiwa kwenda kwa afisa utumishi ili ajenge hoja ya kupanda kwa mseleleko na kuomba kibali kwa katibu mkuu.

20. Kama uliwekwa kwenye mpango wa mafunzo halafu ukajilipia, mwajiri anatakiwa akurudishie gharama alizotakiwa kukulipia.

21. Punguzo la kodi ya mshahara 9% linahusu wenye mishahara ya chini. Mfano katibu mkuu anakatwa 30% ya mshahara.

22.May 2016 promotion zilisitishwa pamoja na mishahara ilisitishwa kwa ajili ya watumishi hewa. Vyeo vyao vipo, ila marekebisho yao yamesitishwa. Watarejeshwa ktk vyeo vyao vipya muda si mrefu

23. Uhakiki bado serikali kuu.

24.Vyeo vya kielimu ktk nchi kimuundo ni mpaka 1st degree.  Masters, phd ni sifa za ziada tu.

25. Mishahara ya watumishi italingana na uzito wa kazi, miundo ya utumishi kurekebishwa ili watu wasifike bar/vidato vya mshahara.

26. Madeni yaliyokataliwa, yafuatiliwe ili kama ni tatizo la document, zitafutwe na kuprossess upya deni.

27. Walimu wa sayansi wanaofundisha na kufanya laboratory technicians wapewe allowances. Wataalam wa laboratory wanaandaliwa.

28. Kukaimu madaraka mwisho miezi 6, athibitishwe au asitishwe.

Monday, April 17, 2017

VIASHIRIA VYA VITA YA TATU YA DUNIA

Kumekuwa na wasi wasi wakuibuka kwa vita ya tatu ya dunia, katika vita hivyo vinavyodhaniwa itaweza kutokea baada ya mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini juu ya majaribio ya silaha za nyukilia yanayo fanywa na Korea Kaskazini
Hali hii ilifikia hapa baada ya Marekani kuelekeza meli yake ya kivita kutokea bahari ya Pacific  na kuchagizwa zaidi na maneno ya raisi wa Marekani Donald Trump ambapo alioneshwa kuchoshwa na kutoendelea kuivumilia Korea Kaskazini kwa majaribio ya nyukilia 
Raisi wa Korea Kaskazini baada ya kuona kitendo cha Marekani kuonesha nia ya kuingilia Korea kivita, amesema hata nyamaza bali ataishambulia Marekani kwa sila zake za nyukilia 
 
China imezishauri nchi zote mbili kuwa hakuna mshindi katika vita. China inajaribu kukaa kando isi jiingize katika vita hii japo kuwa inaoneka kuwa ni vita baridi.  
 

Saturday, April 15, 2017

UFAFANUZI JUU YA MAJINA MATATU YALIONEKANA KWENYE ORODHA YA AJIRA ZA WALIMU WA SAYANSI NA HISABATI

Baada ya TAMISEMI kutangaza ajira za walimu wa sayansi na hesabu, kumekuwa na maswali mengi watu wakijiuliza kuhusiana na majina yaliyo onekana wenye orodha hiyo kwani walimu wa masomo waliyopangwa sio wa masomo ya sayansi wala hisabati. katika orodha hiyo kuna walimu ambao wanafundisha masomo haya history & Geography, Book Keeping &Commerce na history & kiswahili ambayo yote siyo masamo ya sayansi wala hisabati.
Maswali watu waliyokuwa wakijiuliza ni pamoja na: ni kwa nini serekali inasema walimu wa sanaa wamezidi lakini bado wana ajiri wengine je huu sio upendeleo?, Je ni kilichowafanya hawa watu watatu nao wakaomba kuajirwa kwani walio ajiriwa waliomba kwa kutuma vyeti vyao? Je wakati wanapanga haya majina hawakujua majina matatu siyo ya sayansi?

Kutoka na habari nilizozipata mambo yapo hivi: hayo majina matatu ni majina ya walimu ambo walikua wanafundisha shule ambayo ilikua inamilikiwa na CCM kabla haijachukuliwa na serikali kwani Raisi alaichukua hiyo shule na kuifanya mali ya serekali kwa hiyo majina ya walimu hao yameongezwa ili kuwanya wawe wajiriwa rasmi wa serikali

Thursday, April 13, 2017

MH. MAKONDA ATEMBELEA UJENZI WA HOSPITALI CHANIKA

Mh Paul Makonda leo hii ametembelea ujenzi wa Hospitali ya Kinamama ya Chanika unaofadhiliwa na ubalozi wa Korea Kusini na kugharimu zaidi ya Tshs. 8.8 Bilioni uliokamilika kwa 90% hadi hivi sasa.
Mwanzoni 2016 Mh Makonda alipeleka maombi (propasal) ya kuomba washikadau wa maendeleo mbalimbali ikiwemo ubalozi wa Korea Kusini kusaidia katika ujenzi wa hospitali ya kisasa ya Mama na Mtoto , ambapo ubalozi huo ulikubali propasal hiyo
Ujenzi wa hospitali hiyo unaenda sambamba na ujenzi wa nyumba 28 ajili ya wauguzi na madaktari watakaohudumu hospitali hiyo masaa 24. Mpaka sasa 90% ya ujenzi huo imekamilika na kazi ya kufunga vitanda 160 vya wagonjwa na 10 vya kujifungulia na ufungaji wa vifaa vingine inaendelea kwa sasa.
Hospitali hii itakuwa ni mahususi kwa wakina mama na Watoto inatarajiwa kufunguliwa mwezi Juni mwaka huu (2017) na Mh Magufuli

Sunday, April 2, 2017

SHINDA GARI BURE KABISA KWA KUJIUNGA CARS FROM JAPAN

ya kwanza .png Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote, Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo na ww miliki Gari bure.

Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo, Nirahisi sana wala usihofu


>>>>>Bonyeza Hapa : KUJISAJILI NI BURE TU... <<<<<


Kisha Jisajili kwa Kuweka Jina na Email Yako... USIWE NA WASIWASI HUDUMA HII NI SALAMA KABISA..

Jinsi ya kujiunga:
Bofya hayo maandishi ya rangi ya blue hapo juu kisha itafunguka kurasa ambayo itakuwa iko hivi.
ya pili .jpg

Kisha Bofya neno APPLY NOW kisha itafunguka hivi
ya tatu .jpg


Kisha utajaza Form hii kisha utaBofya neno NEXT itafunguka kurasa ingine nayo ufate maelezo yake..

Mwisho wa Kujisajili ni 20 / 06 / 2017



>>>>>Bonyeza Hapa : KUJISAJILI NI BURE TU... <<<<<



APPLY NOW

Friday, March 31, 2017

JUA KUHUSU SHINDANO LA CAR FROM JAPAN

Hivi sasa kuna shindano linaendelea kwa jina la Free Car Giveaway. Hili ni shindano ambalo Mshindi mmoja atazawadiwa gari moja na washindi wengine 105 watazawadiwa kuponi. Baada ya kuona shindano hilo nikalazimika kulifanyia utafiti ili nijiridhishe nalo kabla sijaleta habari zake hapa.

Pamoja na yote hayo, hapa naomba niseme jambo moja. Sitaki kusema shindano hili ni halali/legit kwa 100% lakini nilichofanya kabla ya kuleta mada hii ni kuichambua kampuni inayoendesha shindano husika. Assumption ni kwamba, ikiwa shindano husika linaendeshwa na kampuni halali basi HUENDA na shindano lenyewe likawa halali. Nilichofanya mimi ni kutumia taarifa zilizotolewa na kampuni husika kisha nikazichunguza kwa kupitia external sources.
Ikiwa utahitaji kulisoma kwa makini shindano lenyewe na ikiwa unataka kujaribu, basi linapatikana hapa https://carfromjapan.com/en/campaign/car-from-japan-grand-giveaway-2017?refer=58bcf7b88abb210001e449d2

UTAFITI WANGU & SUPPORTING EVIDENCE

1. Physical Address:
Kwanza nilichukua physical address iliyowekwa na hiyo kampuni. Adress yao ni hii hapa chini:
Fact I.png

Nikataka kufahamu ikiwa kweli hiyo address ipo na hiyo kampuni inapatiakana kwenye hilo jengo. Google Map na Google Street Map ikathibitisha hayo yote mawili:
Fact II.png
Fact IIB.png

EVIDENCE 2: Japan Used Motor Vehicle Exporters Association (JUMVEA):


JUMVEA ni Jumuiya ya Wasafirishaji Magari huko Japan na wamethibitishwa na Wizara ya Uchumi, Biashara na Viwanda ya Japan. Watu wanashauriwa kabla ya kuagiza gari/magari kutoka Japan wahakikishie kwanza kampuni wanayotaka kufanya nayo biashara ni mwanachama wa JUMVEA.

Ukitaka kuufahamu UHALALI wa JUMVEA soma angalizo la Ubalozi wa Kenya nchini Japan. Screenshot na link ya habari husika ni hii hapa.
Fact III.png
Fact IIIB.png

Kwahiyo hapo utaona Ubalozi wa Kenya unawaasa Wakenya kabla hawajaagiza magari wahakikishe dealer husika ana uhalali wa kufanya kibiashara na amesajiriwa na JUMVEA. Bila shaka ushauri huu ni muhimu hata kwetu sisi Watanzania. Aidha ni ushauri mzuri kwako hata kama huna haja na hili shindano.

Hapa nikataka kujiridhisha ikiwa kampuni inayooendesha hili shindano imesajiriwa na JUMVEA na nimethibitisha ni kampuni halali inayofanya biashara halali na ni mwanachama wa JUMVE. Hata hivyo, unaweza kuthibitisha wewe mwenyewe mbali ni hizi screenshots:
Fact IV.png
Ikiwa hadi hapo umeridhika na ungetamani kujaribu bahati yako, hilo linafayika kwa kutumia hii link: Free Car Giveaway

Kama vipi, tuendelee na uchambuzi wetu. Ukiangalia kwenye hiyo screenshot, unakuta hao Car From Japan ni Safe Trade Member. Safe Trade Member ni Car Exporter anayekuhakikishia usalama wa pesa yako wewe mnunuaji hata kama pesa umeshamtuma lakini gari haijasafirishwa. Bila shaka, kampuni inayoingia kwenye hili group ni lazima ithibitishwe ina uwezo wa kufanya biashara bila magumashi:
Fact IVB.png
Kwa mara nyingine, hata kama huna haja ya kujaribu hili shindano kumbe tayari na wewe utakuwa umefaidika na taarifa hiyo hapo juu siku utakapotaka utakapotaka kuagiza gari kutoka Japan. Ili kujihakikishia usalama wa pesa yako, hakikisha dealer husika ni member wa Jumvea Safe Trade. Kwa maelezo zaidi, hawa ndio JUMVEA

Kwa hofu ya kuifanya makala hii kuwa ndefu sana, naomba niishie hapa lakini sina shaka wengi wetu tutakuwa tumejiridhisha kwamba shindano husika linaendeshwa na kampuni halali inayofanya biashara kihalali na inatambuliwa na mamlaka husika. Kwahiyo, ikiwa unataka kujaribu bahati yako, unaweza kufanya hivyo kupitia link: Free Car Giveaway  

hii imechukuliwa 

JF By

myplusbee