Monday, April 17, 2017

VIASHIRIA VYA VITA YA TATU YA DUNIA

Kumekuwa na wasi wasi wakuibuka kwa vita ya tatu ya dunia, katika vita hivyo vinavyodhaniwa itaweza kutokea baada ya mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini juu ya majaribio ya silaha za nyukilia yanayo fanywa na Korea Kaskazini
Hali hii ilifikia hapa baada ya Marekani kuelekeza meli yake ya kivita kutokea bahari ya Pacific  na kuchagizwa zaidi na maneno ya raisi wa Marekani Donald Trump ambapo alioneshwa kuchoshwa na kutoendelea kuivumilia Korea Kaskazini kwa majaribio ya nyukilia 
Raisi wa Korea Kaskazini baada ya kuona kitendo cha Marekani kuonesha nia ya kuingilia Korea kivita, amesema hata nyamaza bali ataishambulia Marekani kwa sila zake za nyukilia 
 
China imezishauri nchi zote mbili kuwa hakuna mshindi katika vita. China inajaribu kukaa kando isi jiingize katika vita hii japo kuwa inaoneka kuwa ni vita baridi.  
 

No comments:

Post a Comment