Wednesday, April 19, 2017
MABADILIKO YANAYO KUATHIRI WEWE MWAJIRIWA NA AJIRA YAKO ๐๐ฝ
✍๐ฝKwa Tanzania sasa hivi kupoteza kazi yako ni rahisi sana. Unaweza kwenda kazini leo ukakuta umefukuzwa.⌚
Teknolojia inabadilisha kila kitu. Baada ya muda mfupi unaweza kukuta kazi yako inafanywa na mashine.
Huna uhakika na kampuni unayofanya nayo kama itabaki miaka 20 mbele inaweza pia ikafa.
Kumbuka Sikwambii haya kukutia hofu ni Ukweli ili ujiandae Lolote laweza kutokea.
Mambo uliyokua huyajui:-
• Hakuna Tajiri alieajiriwa, matajiri wote wanamiliki biashara zao wenyewe. Usifikiri kuwa tajiri kwa kupitia kwenye ajira.
• Huwezi kua tajiri kwa kutegemea mshahara wako anza sasa kufikiria na kufanya, buni mfumo utakaokutengenezea kipato wakati upo kwenye ajira kipato hicho kikizidi mshahara na fanya mpango uache kazi.
• Kama hujui ni kwamba boss wako hana mpango wa kubadili maisha yako furaha yake yeye ni aone unamfanyia kazi kwa bidii. Ukiumwa leo ukabaki nyumbani miezi mitatu ukirudi kazini utakuta nafasi yako imeshachukuliwa.
• Haijalishi una elimu kubwa kiasi gani au ndogo kiasi gani mwajiriwa ni mwajiriwa tu wote wana hatari moja/wote wanamfanyia kazi mtu, ukifukuzwa kazi leo maisha yako lazima yatayumba.
• Kilio kimoja cha kila mwajiriwa ni mishahara haikutani kamwe. Unaweza kubadili hali hiyo leo kwa kua na mfumo wako unakutengenezea pesa nje ya ajira.
• Usipoteze muda kuomba uongezewe mshahara au upande cheo waza kumiliki biashara yako mwenyewe.
• Mshahara ukiongezeka ujue utatakiwa ufanye kazi nyingi zaidi/uzalishe Zaidi, ukipanda cheo ujue na majukumu yatakua mengi Zaidi. Pesa utakayoongezewa huwezi kuifurahia tena.
• Kwenye mfumo wako mwenyewe ni kwamba kuna wakati utakua haupo lakini pesa zinaendelea kutengenezwa.
• Kama unafarijiwa na mafao utakayopata uzeeni piga mahesabu ni kiasi gani utapokea na uone jinsi gani unapoteza muda.
• Mafao unayoyasubiria baada ya miaka 40 ya ajira ungeweze kutengeneza mara 50 yake na kwa muendelezo yaani hiyo miaka 40 ya ajira ni miaka 5 tu inaweza kukufanya wewe uanze kuishi maisha ya kipato kinacholingana na mafao yako.
• Ajira yako haikulindi bali inakufanya uwe mtumwa unauza muda na nguvu zako kila siku kipato ambacho siku zote hakitakaa kikutoshe.
• Sikwambii haya ili uache kazi leo lah! Anza kujitengenezea mfumo leo ili undoke hapo bila maumivu wala hofu yeyote.
• Zipo biashara nyingi za kuanza ukiwa kwenye ajira lakini changamoto kubwa ni kwamba zitakukosa wewe kwasababu upo kwenye ajira hivyo ukuaji wake utakua kwenye hatari kubwa sana.
• Lakini zipo biashara ambazo unaweza kutenga ule muda wako wa ziada baada ya ajira ukawa unaikuza biashara hii na ikakuletea mafanikio makubwa sana.
Inawezekana wewe hujawahi kufikiria kua tajiri au kumiliki mali nyingi biashara zako na kadhalika lakini kujiajiri au kuwa na kipato cha ziada ni kitu cha muhimu kwa maana unakua hutegemei mshahara peke yake. Lolote linaweza kutokea kipindi hiki.
Kuwa makini na jitengenezee njia za kujisaidia kabla mabaya hayajakufikia.
Tafakari, Chukua hatua
Huku ukimtanguliza Mwenyezi Mungu mbele๐
Tuesday, April 18, 2017
MAELEZO KUTOKA KWA KATIBU MKUU UTUMISHI.
1. Malimbikizo ya salary, yatalipwa automatic baada ya areas kuwa approved na maafisa utumishi, kuanzia pale ulipopanda. Hakuna tena kudai area
2. Uhamisho, kuhamisha mshahara ni jukumu la mwajiri wa awali, kama umehama
3. Kuhama mkoa ni lazima jina litokee kwenye orodha ya watumishi wanaohama.
4. Kwa wastaafu wanaodai areas, wanatakiwa kujaza fomu na viambatanishi ili ulipwe.
5.Malimbikizo ya mshahara kuonekana kisha kufutika, haijapotea ila inahitaji kuidhinishwa upya.
6.Kama hujapata areas, na madai ni ya muda mrefu fuatilia kwa afisa utumishi ili ujaze form maalum.
7. Ukipanda cheo, kiri haraka.
8.Posho za safari za kikazi zinatokana na status ya mtumishi, upandishaji wa vyeo vya watumishi hutegemea vikao vya DED, upandaji cheo inategemea fungu lililopangwa, mtumishi haruhusiwi kudai cheo. Hii ni kanuni. Promotion ni motisha kwa watumishi, si automatic. Mwajiri lzm apate taarifa za utendajikazi wa utumishi ndipo aandae promotion.
9.Madai kwa watumishi waliohama, yatashughulikiwa na mwajiri wa sasa baada ya kuwasiliana na mwajiri wa awali.
10. Upatikaji wa nyaraka, www.utumishi.go.tz na www.tamisemi.go.tz utapata nyaraka na huduma kwa kutumia simu au computer.
11. Nauli za likizo, inategemea bajeti ya halmashauri, ilipwe kabla ya kusafiri, akijisafirisha atadai. Maombi ya nauli za likizo yatahakikiwa kwa kutumia nauli za SUMATRA. Marufuku kulipwa nusu nauli.
12. Kusoma nje ya nchi, kama upo kwenye mpango wa mwajiri utalipiwa na kulipwa mshahara, kama haupo mwenye mpango, utachukua likizo bila malipo. Kibali kitatolewa na katibu mkuu kusafiri nje.
13. Rufaa ya matibabu, mwajiri alipe nauli na posho ya kujikimu. Ukijigharamia, mwajiri anatakiwa kukulipa.
14. Kutofautiana kwa mishahara kwa watumishi wenye sifa zinazofanana, kuna tume ya job evaluation inafanya utafiti hatua za mwisho, pia tatizo lilikuwa tsd kutoshirikiana na mkurugenzi. Lkn tsd imekuwa tsc, tatizo litakwisha.
15. Disturbance allowance italipwa kwa 10% ya mshahara wake wa mwaka. Kwa watumishi waliohama destination, hata kama ni ndani ya km5.
16. Kumbuka kutunza nyaraka, kufuatilia mifuko ya jamii na michango ili kuhakiki uwasilishaji wa michango kabla ya kustaafu
17.Uteuzi wa wakuu wa idara huzingatia: utendaji kazi, uongozi, royality, elimu, nk.
18. Tange kwa kila kada ijazwe na kuwasilishwa kwa afisa utumishi.
19. Waliocheleweshwa kupanda daraja, wanatakiwa kwenda kwa afisa utumishi ili ajenge hoja ya kupanda kwa mseleleko na kuomba kibali kwa katibu mkuu.
20. Kama uliwekwa kwenye mpango wa mafunzo halafu ukajilipia, mwajiri anatakiwa akurudishie gharama alizotakiwa kukulipia.
21. Punguzo la kodi ya mshahara 9% linahusu wenye mishahara ya chini. Mfano katibu mkuu anakatwa 30% ya mshahara.
22.May 2016 promotion zilisitishwa pamoja na mishahara ilisitishwa kwa ajili ya watumishi hewa. Vyeo vyao vipo, ila marekebisho yao yamesitishwa. Watarejeshwa ktk vyeo vyao vipya muda si mrefu
23. Uhakiki bado serikali kuu.
24.Vyeo vya kielimu ktk nchi kimuundo ni mpaka 1st degree. Masters, phd ni sifa za ziada tu.
25. Mishahara ya watumishi italingana na uzito wa kazi, miundo ya utumishi kurekebishwa ili watu wasifike bar/vidato vya mshahara.
26. Madeni yaliyokataliwa, yafuatiliwe ili kama ni tatizo la document, zitafutwe na kuprossess upya deni.
27. Walimu wa sayansi wanaofundisha na kufanya laboratory technicians wapewe allowances. Wataalam wa laboratory wanaandaliwa.
28. Kukaimu madaraka mwisho miezi 6, athibitishwe au asitishwe.
2. Uhamisho, kuhamisha mshahara ni jukumu la mwajiri wa awali, kama umehama
3. Kuhama mkoa ni lazima jina litokee kwenye orodha ya watumishi wanaohama.
4. Kwa wastaafu wanaodai areas, wanatakiwa kujaza fomu na viambatanishi ili ulipwe.
5.Malimbikizo ya mshahara kuonekana kisha kufutika, haijapotea ila inahitaji kuidhinishwa upya.
6.Kama hujapata areas, na madai ni ya muda mrefu fuatilia kwa afisa utumishi ili ujaze form maalum.
7. Ukipanda cheo, kiri haraka.
8.Posho za safari za kikazi zinatokana na status ya mtumishi, upandishaji wa vyeo vya watumishi hutegemea vikao vya DED, upandaji cheo inategemea fungu lililopangwa, mtumishi haruhusiwi kudai cheo. Hii ni kanuni. Promotion ni motisha kwa watumishi, si automatic. Mwajiri lzm apate taarifa za utendajikazi wa utumishi ndipo aandae promotion.
9.Madai kwa watumishi waliohama, yatashughulikiwa na mwajiri wa sasa baada ya kuwasiliana na mwajiri wa awali.
10. Upatikaji wa nyaraka, www.utumishi.go.tz na www.tamisemi.go.tz utapata nyaraka na huduma kwa kutumia simu au computer.
11. Nauli za likizo, inategemea bajeti ya halmashauri, ilipwe kabla ya kusafiri, akijisafirisha atadai. Maombi ya nauli za likizo yatahakikiwa kwa kutumia nauli za SUMATRA. Marufuku kulipwa nusu nauli.
12. Kusoma nje ya nchi, kama upo kwenye mpango wa mwajiri utalipiwa na kulipwa mshahara, kama haupo mwenye mpango, utachukua likizo bila malipo. Kibali kitatolewa na katibu mkuu kusafiri nje.
13. Rufaa ya matibabu, mwajiri alipe nauli na posho ya kujikimu. Ukijigharamia, mwajiri anatakiwa kukulipa.
14. Kutofautiana kwa mishahara kwa watumishi wenye sifa zinazofanana, kuna tume ya job evaluation inafanya utafiti hatua za mwisho, pia tatizo lilikuwa tsd kutoshirikiana na mkurugenzi. Lkn tsd imekuwa tsc, tatizo litakwisha.
15. Disturbance allowance italipwa kwa 10% ya mshahara wake wa mwaka. Kwa watumishi waliohama destination, hata kama ni ndani ya km5.
16. Kumbuka kutunza nyaraka, kufuatilia mifuko ya jamii na michango ili kuhakiki uwasilishaji wa michango kabla ya kustaafu
17.Uteuzi wa wakuu wa idara huzingatia: utendaji kazi, uongozi, royality, elimu, nk.
18. Tange kwa kila kada ijazwe na kuwasilishwa kwa afisa utumishi.
19. Waliocheleweshwa kupanda daraja, wanatakiwa kwenda kwa afisa utumishi ili ajenge hoja ya kupanda kwa mseleleko na kuomba kibali kwa katibu mkuu.
20. Kama uliwekwa kwenye mpango wa mafunzo halafu ukajilipia, mwajiri anatakiwa akurudishie gharama alizotakiwa kukulipia.
21. Punguzo la kodi ya mshahara 9% linahusu wenye mishahara ya chini. Mfano katibu mkuu anakatwa 30% ya mshahara.
22.May 2016 promotion zilisitishwa pamoja na mishahara ilisitishwa kwa ajili ya watumishi hewa. Vyeo vyao vipo, ila marekebisho yao yamesitishwa. Watarejeshwa ktk vyeo vyao vipya muda si mrefu
23. Uhakiki bado serikali kuu.
24.Vyeo vya kielimu ktk nchi kimuundo ni mpaka 1st degree. Masters, phd ni sifa za ziada tu.
25. Mishahara ya watumishi italingana na uzito wa kazi, miundo ya utumishi kurekebishwa ili watu wasifike bar/vidato vya mshahara.
26. Madeni yaliyokataliwa, yafuatiliwe ili kama ni tatizo la document, zitafutwe na kuprossess upya deni.
27. Walimu wa sayansi wanaofundisha na kufanya laboratory technicians wapewe allowances. Wataalam wa laboratory wanaandaliwa.
28. Kukaimu madaraka mwisho miezi 6, athibitishwe au asitishwe.
Monday, April 17, 2017
VIASHIRIA VYA VITA YA TATU YA DUNIA
Kumekuwa na wasi wasi wakuibuka kwa vita ya tatu ya dunia, katika vita hivyo vinavyodhaniwa itaweza kutokea baada ya mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini juu ya majaribio ya silaha za nyukilia yanayo fanywa na Korea Kaskazini
Hali hii ilifikia hapa baada ya Marekani kuelekeza meli yake ya kivita kutokea bahari ya Pacific na kuchagizwa zaidi na maneno ya raisi wa Marekani Donald Trump ambapo alioneshwa kuchoshwa na kutoendelea kuivumilia Korea Kaskazini kwa majaribio ya nyukilia
Raisi wa Korea Kaskazini baada ya kuona kitendo cha Marekani kuonesha nia ya kuingilia Korea kivita, amesema hata nyamaza bali ataishambulia Marekani kwa sila zake za nyukilia
China imezishauri nchi zote mbili kuwa hakuna mshindi katika vita. China inajaribu kukaa kando isi jiingize katika vita hii japo kuwa inaoneka kuwa ni vita baridi.
Saturday, April 15, 2017
UFAFANUZI JUU YA MAJINA MATATU YALIONEKANA KWENYE ORODHA YA AJIRA ZA WALIMU WA SAYANSI NA HISABATI
Baada ya TAMISEMI kutangaza ajira za walimu wa sayansi na hesabu, kumekuwa na maswali mengi watu wakijiuliza kuhusiana na majina yaliyo onekana wenye orodha hiyo kwani walimu wa masomo waliyopangwa sio wa masomo ya sayansi wala hisabati. katika orodha hiyo kuna walimu ambao wanafundisha masomo haya history & Geography, Book Keeping &Commerce na history & kiswahili ambayo yote siyo masamo ya sayansi wala hisabati.
Maswali watu waliyokuwa wakijiuliza ni pamoja na: ni kwa nini serekali inasema walimu wa sanaa wamezidi lakini bado wana ajiri wengine je huu sio upendeleo?, Je ni kilichowafanya hawa watu watatu nao wakaomba kuajirwa kwani walio ajiriwa waliomba kwa kutuma vyeti vyao? Je wakati wanapanga haya majina hawakujua majina matatu siyo ya sayansi?
Kutoka na habari nilizozipata mambo yapo hivi: hayo majina matatu ni majina ya walimu ambo walikua wanafundisha shule ambayo ilikua inamilikiwa na CCM kabla haijachukuliwa na serikali kwani Raisi alaichukua hiyo shule na kuifanya mali ya serekali kwa hiyo majina ya walimu hao yameongezwa ili kuwanya wawe wajiriwa rasmi wa serikali
Maswali watu waliyokuwa wakijiuliza ni pamoja na: ni kwa nini serekali inasema walimu wa sanaa wamezidi lakini bado wana ajiri wengine je huu sio upendeleo?, Je ni kilichowafanya hawa watu watatu nao wakaomba kuajirwa kwani walio ajiriwa waliomba kwa kutuma vyeti vyao? Je wakati wanapanga haya majina hawakujua majina matatu siyo ya sayansi?
Kutoka na habari nilizozipata mambo yapo hivi: hayo majina matatu ni majina ya walimu ambo walikua wanafundisha shule ambayo ilikua inamilikiwa na CCM kabla haijachukuliwa na serikali kwani Raisi alaichukua hiyo shule na kuifanya mali ya serekali kwa hiyo majina ya walimu hao yameongezwa ili kuwanya wawe wajiriwa rasmi wa serikali
Thursday, April 13, 2017
MH. MAKONDA ATEMBELEA UJENZI WA HOSPITALI CHANIKA
Mh Paul Makonda leo hii ametembelea ujenzi wa Hospitali ya Kinamama
ya Chanika unaofadhiliwa na ubalozi wa Korea Kusini na kugharimu zaidi
ya Tshs. 8.8 Bilioni uliokamilika kwa 90% hadi hivi sasa.
Mwanzoni 2016 Mh Makonda alipeleka maombi (propasal) ya kuomba washikadau wa maendeleo mbalimbali ikiwemo ubalozi wa Korea Kusini kusaidia katika ujenzi wa hospitali ya kisasa ya Mama na Mtoto , ambapo ubalozi huo ulikubali propasal hiyo
Ujenzi wa hospitali hiyo unaenda sambamba na ujenzi wa nyumba 28 ajili ya wauguzi na madaktari watakaohudumu hospitali hiyo masaa 24. Mpaka sasa 90% ya ujenzi huo imekamilika na kazi ya kufunga vitanda 160 vya wagonjwa na 10 vya kujifungulia na ufungaji wa vifaa vingine inaendelea kwa sasa.
Hospitali hii itakuwa ni mahususi kwa wakina mama na Watoto inatarajiwa kufunguliwa mwezi Juni mwaka huu (2017) na Mh Magufuli
Mwanzoni 2016 Mh Makonda alipeleka maombi (propasal) ya kuomba washikadau wa maendeleo mbalimbali ikiwemo ubalozi wa Korea Kusini kusaidia katika ujenzi wa hospitali ya kisasa ya Mama na Mtoto , ambapo ubalozi huo ulikubali propasal hiyo
Ujenzi wa hospitali hiyo unaenda sambamba na ujenzi wa nyumba 28 ajili ya wauguzi na madaktari watakaohudumu hospitali hiyo masaa 24. Mpaka sasa 90% ya ujenzi huo imekamilika na kazi ya kufunga vitanda 160 vya wagonjwa na 10 vya kujifungulia na ufungaji wa vifaa vingine inaendelea kwa sasa.
Hospitali hii itakuwa ni mahususi kwa wakina mama na Watoto inatarajiwa kufunguliwa mwezi Juni mwaka huu (2017) na Mh Magufuli
Sunday, April 2, 2017
SHINDA GARI BURE KABISA KWA KUJIUNGA CARS FROM JAPAN
Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo, Nirahisi sana wala usihofu
>>>>>Bonyeza Hapa : KUJISAJILI NI BURE TU... <<<<<
Kisha Jisajili kwa Kuweka Jina na Email Yako... USIWE NA WASIWASI HUDUMA HII NI SALAMA KABISA..
Jinsi ya kujiunga:
Bofya hayo maandishi ya rangi ya blue hapo juu kisha itafunguka kurasa ambayo itakuwa iko hivi.
Kisha Bofya neno APPLY NOW kisha itafunguka hivi
Kisha utajaza Form hii kisha utaBofya neno NEXT itafunguka kurasa ingine nayo ufate maelezo yake..
Mwisho wa Kujisajili ni 20 / 06 / 2017
>>>>>Bonyeza Hapa : KUJISAJILI NI BURE TU... <<<<<
APPLY NOW
Subscribe to:
Posts (Atom)